Jubilee, NASA wamtaka Tobiko achunguze uchaguzi wa Agosti 8
Published on: September 22, 2017 07:59 (EAT)
Tume ya uchaguzi, IEBC, sasa imeandaa warsha za kuwafunza watakaosimamia uchaguzi mpya wa urais ili kuhakikisha kwamba makosa yaliyotendeka katika uchaguzi wa mwezi Agosti hayarejelewi tena. Haya yanajiri huku mrengo wa NASA ukiandikia afisi ya mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma ukitaka uchunguzi wa kina ufanyike kwa wafanyikazi wa IEBC waliovunja sheria.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment