Jubilee: Tutapunguza mamlaka ya mahakama ya juu
Published on: September 23, 2017 08:32 (EAT)
Chama cha Jubilee kimesisitiza kuwa muungano wa NASA hauna budi ila kushiriki uchaguzi mpya wa urais kama ilivyopangwa na tume ya IEBC. Kupitia katibu wake mkuu Raphael Tuju chama hicho kimesuta viongozi wa NASA kwa kudokeza kuwa ni watu wasioridhika kwa chochote kile.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment