Jubilee waendelea na kampeni eneo la kati
Published on: June 23, 2017 08:11 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake Ruto hii leo wameelekeza kampeni za chama cha Jubilee katika kaunti ya Meru na kuwataka wenyeji kujitokeza kwa wingi kumpigia kura siku ya uchaguzi. Rais aidha amesisitiza kuwa wafuasi wake sharti wawapigie kura wawaniaji viti mbalimbali kwa chama cha Jubilee wala sii wanaowania kama wagombesa huru.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment