Jubilee waendelea na kampeni eneo la kati

Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake Ruto hii leo wameelekeza kampeni za chama cha Jubilee katika kaunti ya Meru na kuwataka wenyeji kujitokeza kwa wingi kumpigia kura siku ya uchaguzi. Rais aidha amesisitiza kuwa wafuasi wake sharti wawapigie kura wawaniaji viti mbalimbali kwa chama cha Jubilee wala sii wanaowania kama wagombesa huru.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE meru kiraitu murungi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories