Jubilee wakashifu NASA kwa vitisho vya kususia uchaguzi

Chama cha Jubilee imekashifu muungano wa upinzani Nasa kutokana na matamshi kwamba hawatoshiriki kwenye uchaguzi iwapo mabadiliko hayatafanyika katika tume huru ya uchaguzi na mipaka. Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju amewataka Nasa kuandikia rasmi IEBC kuwafahamisha kuwa hawatashiriki kwenye marudio ya uchaguzi ili kuondolea taifa mzigo.

Tags:

IEBC JUBILEE NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories