Jubilee wapanga kubuni kamati hata NASA wakikataa
Published on: December 05, 2017 08:07 (EAT)
Bunge la kitaifa limepitisha orodha ya majina ya wabunge walioteuliwa kujiunga na kamati mbili za umuhimu ili kuwezesha bunge hilo kuendelea na shughuli zake kama kawaida. Pande zote mbili zimeteua wabunge watakaojiunga na kamati ya uteuzi pamoja na kamati ya shughuli za bunge. Hata hivyo Nasa wamesusia kuwateua wabunge kuwa katika kamati ya kuwachunguza mawaziri.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment