Jubilee wawinda kura Kitale, Kericho na Narok

Chama cha Jubilee kimetetea rekodi yake uongozini kwa muhula wa miaka minne, na kuwarai wakenya kuchagua kati ya maendeleo na porojo. Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wamefanya msururu wa mikutano kaunti za Trans Nzoia, Narok na Kericho, huku wakiutaja muungano wa upinzani-Nasa kama kongamano la viongozi walio na kiu ya utawala lakini hawana dira ya maendeleo na utangamano wa kitaifa.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE narok DP Ruto KITALE Sugoi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories