Jubilee yaendelea kuwika Bonde la Ufa

Viongozi wa Jubilee sasa wanasema kuwa NASA inataka kusambaratisha uchaguzi ili usifanyike tarehe nane na uhairishwe hadi disemba. Rais uhuru Kenyatta, naibu rais William Ruto na viongozi walioandamana nao katika kampeni za kupigia debe Jubilee katika kaunti ya Kericho wamesema kuwa malalamishi ambayo NASA wanatoa sasa kuhusiana na maafisa wa IEBC na shughuli nzima ya uchapishaji wa karatasi za kupigia kura ni njama tu kwasababu hawako tayari kwa uchaguzi.

Tags:

IEBC JUBILEE Kericho Ballot printing tender Rais kenyatta

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories