Jubilee yafanya kampeni Garissa, Isiolo

Rais Uhuru Kenyatta amekashifu upinzani NASA akidai kuwa wamekuwa wakieneza propaganda na kukashifu maendeleo ya serikali. Rais amesema kuwa  viongozi wa NASA hawana rekodi au sera ya maendeleo ambayo wametekeleza licha ya kuhudumu katika serikali za hapo awali. Rais Kenyatta aliyasema haya alikuwa kwenye  kampeni za Jubilee katika kaunti za garisaa na Isiolo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories