Jubilee yaimarisha uwepo wake kaunti ya Mandera

Naibu Rais William Ruto amekaribisha wagombezi huru na vyama vyote vya kisiasa vinavyounga mkono azma ya Rais Uhuru Kenyatta kusaka mhula wa pili uongozini.

 

Akizungumza katika kaunti ya mandera ruto alisuta muungano wa upinzani nasa kwa kutishia kujiondoa katika kinyanganyiro akisema kuwa vitisho kwa iebc ni ishara kuwa upinzani unanusa kushindwa na Jubilee

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories