Jubilee yapeleka kampeni zake Machakos
Published on: July 04, 2017 09:15 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto leo wameendelea kunadi sera za Jubilee na kusaka kura za muhula mpya uongozini, huku wakiirai jamii ya ukambani kuikubali ngoma ya uhuruto tano tena. Rais na naibu wake wamesema lao ni kusambaza maendeleo kote nchini, pasina kujali tofauti za kijamii au kidini, na kudai wapinzani wao walipoteza miaka mingi wakiwa serikalini bila kuwafaidi wananchi wa kawaida.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment