Jubilee yatia nanga Muranga, Nyeri
Published on: July 25, 2017 07:59 (EAT)
Mdahalo wa urais uliofanyika jana na ambao ulisusiwa na baadhi ya wagombea akiwemo Rais Kenyatta umechukua mkondo wa kisiasa ambapo leo rais ameelezea ni kwanini hakuhudhuria. Rais Kenyatta amekosoa vyombo vya habari akisema vilijaribu kumburuza kwa nguvu kwenye mdahalo huo ambao kwa mtazamo wake haukua muhimu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment