Justin Muturi kutetea kiti cha spika wa bunge la taifa
Published on: August 29, 2017 08:43 (EAT)
Makarani wa bunge la kitaifa na seneti hii leo wamechapisha rasmi majina ya wale walioomba kazi ya kuwa spika bungeni akiwemo spika wa bunge la 11 Justin Muturi. Hayo yanajiri huku wabunge wapya waliochaguliwa wakifanyiwa mafunzo ya bunge kabla ya kuapishwa siku ya Alhamisi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment