Kalonzo apuuza fununu ana mipango ya kutoroka NASA

Kiongozi wa wiper kalonzo Musyoka amepuzilia mbali madai kwamba anapanga njama kujiondoa kutoka kwa muungano wa nasa endapo hatateuliwa kuwa mgombea urais. Musyoka ambaye aliandamana na kinara Mwenza katika NASA Moses Wetangula anasema wanaoeneza uvumi huo wana nia ya kusambaratisha muungano wa NASA wakiapa watamuunga mkono yeyote atakateteuliwa kupeperusha bendera ya nasa.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories