Kalonzo asema ataapishwa pamoja na Raila
Published on: December 28, 2017 08:09 (EAT)
Kinara mwenza wa NASA Kalonzo Musyoka amesema kuwa ataapishwa pamoja na kinara wa muungano huo Raila Odinga iwapo rais Uhuru Kenyatta ataendelea kukataa wito wa mazungumzo. Musyoka alizungumza katika kikao na vingozi wengine wa ukambani alipoitembelea familia ya marehemu Francis Nyenze kaunti ya Kitui.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment