Kamaru atumbuiza mashabiki wa Inooro
Published on: December 10, 2016 09:27 (EAT)
Mashabiki wa Inooro Fm pamoja na wale wa mwanamuziki wa nyimbo za kikuyu Joseph Kamaru jana usiku walijumuika katika hafla ya kusherehekea miaka 60 tangu mwanamuziki huyo kujitosa katika nyanja za uimbaji.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment