Kamati teule ya bunge yawasilisha bungeni, yapendekeza kurekebishwa kwa sheria za uchaguzi

Kamati teule ya bunge inapendekeza kupiga msasa sheria za uchaguzi na kurahisisha kosa la uhongaji wa wapiga kura, huku kinyang’anyiro cha mwaka ujao kikizidi kujongea. Kamati hiyo inapendekeza kuondolewa kwa kosa la kuwapa wapiga kura vyakula au kuwasafirisha, huku jukumu la kuchunguza makosa ya uchaguzi likipendekezwa kutekelezwa na kiongozi wa mashtaka ya umma Keriako Tobiko.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories