Kamati ya bunge yamhoji wakili wa seneta Murkomen

Wakili wa kampuni ya Sing’oei, Murkomen and Sigei, inayohusishwa na seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen amekanusha kupokea fedha zozote zinazohusiana na sakata ya NYS. Katika mahojiano na kamati ya bunge kuhusu uhasibu, Sigei amesema kuwa uhusiano wake na kampuni ya “Out the Box” ulikuwa wa wakili na mteja na ulihusu pesa za kununua ardhi wala si miradi ya NYS.

Tags:

NYS MUrkomen

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories