Kamati ya kumwapisha Odinga yasema mipango yaendelea
Published on: January 18, 2018 08:17 (EAT)
Huku tarehe 30 mwezi huu ikikaribia, kamati inayosimamia mipango ya kuapishwa kwa kinara wa NASA Raila Odinga imesema kuwa muungano huo unaendelea kuandaa hafla hiyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo David Ndii amesema kuwa NASA itahudhuria kongamano la bunge la wananchi hapo kesho katika kaunti ya Machakos.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment