Kamati ya kumwapisha Odinga yasema mipango yaendelea

Huku tarehe 30 mwezi huu ikikaribia, kamati inayosimamia mipango ya kuapishwa kwa kinara wa NASA Raila Odinga imesema kuwa muungano huo unaendelea kuandaa hafla hiyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo David Ndii amesema kuwa NASA itahudhuria kongamano la bunge la wananchi hapo kesho katika kaunti ya Machakos.

Tags:

raila odinga NASA David Ndii Raila swearing in

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories