Kampeni za Jubilee zafanyika Bungoma, Pokot Magharibi na Eldoret
Published on: September 07, 2017 08:26 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amewapongeza wafuasi wake kutoka mkoa wa magharibi kwa kumpigia kura wakati wa uchaguzi mkuu wa tarehe nane mwezi wa nane na kuwarai kujitokeza tena kwa wingi tarehe 17 mwezi Oktoba kumuunga mkono. Rais Kenyatta aliyekuwa akizungumza alipozuru kaunti ya Bungoma pia alimkashifu kiongozi wa upinzani Raila Odinga kwa kueneza propaganda kuhusiana na miradi ya maendeleo ya Jubilee.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment