Kampuni ya magari ya Peugeot kuzindua kiwanda

Kampuni ya magari ya kifaransa ya Peugeot imerejelea shughuli zake humu nchini. Kampuni hiyo imetangaza kufungua kiwanda ambacho kitakuwa kikitengeneza magari elfu moja kila mwaka na kuwaajiri watu mia mbili. Aina tano za magari hayo zitaundwa hususan kwa soko la humu nchini ambapo gari la kwanza linatarajiwa kuwa barabarani mwezi juni mwaka huu. Hafla ya kutia sahihi ushirikiano huo ilifanyika katika ikulu ya Nairobi ikiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta.

Tags:

kenya Nairobi Peugeot

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories