Kampuni zinazohusishwa na sakata ya wizara ya afya

Wahusika wakuu kwenye sakata ya shilingi bilioni tano ya wizara ya afya wanahusishwa na Rais Kenyatta. Dadake Rais Kenyatta, Nyokabi Muthama na Kathleen Kihanya ambaye ni binamuye wanahusishwa na kampuni ya Sundales ambayo ilipokea shilingi milioni 41 katika sakata hiyo. Haya ni huku msajili wa makampuni akifichua majina ya wanaomiliki kampuni tatu zinazohusishwa na sakata hiyo.

Tags:

sakata ya wizara ya afya

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories