Kanisa la AIPCA Kirinyaga lapoteza makasisi 3 katika ajali ya barabarani
Published on: December 30, 2017 09:04 (EAT)
Familia za maaskofu watatu wa kanisa la AIPCA walioaga dunia kwenye ajali ya barabarani hapo jana eneo la Mwea zinaendelea kuomboleza vifo hivyo huku Kanisa likitoa wito kwa madereva kuwa waangalifu barabarani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment