Kasisi auawa Kisumu
Published on: October 24, 2017 08:10 (EAT)
Hali ya taharuki imetanda katika eneo la Nyabondo huko Kisumu baada ya kasisi mmoja kuuawa na gari lake kuchomwa moto. Evans Juma anadaiwa kuuawa na genge la majambazi. Polisi wameanzisha uchunguzi kufuatia kisa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment