Katibu Mkuu wa zamani wa TNA ahamia ODM

Aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha TNA Onyango oloo amekihama chama cha Jubilee na kujiunga na ODM. Akihutubu mjini Kisumu, oloo alisema kuwa hatua aliyochukua ndiyo bora zaidi ya kumwezesha kukuza taaluma yake ya kisiasa.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories