Kaunti 13 pekee zimetimiza sheria ya kuajiri

Mabunge ya kaunti ya Nandi na Kirinyanga yanaongoza kwa ukabila baada ya kubainika kwamba yamewajiri watu wa kutoka jamii zao katika nyadhifa nyingi kwenye mabunge hayo. Haya yamefichuliwa katika ripoti maalum iliyotolewa leo na tume ya uwiano na maridhiano kuhusu uajiri wa watu katika taasisi za umma.

Tags:

NCIC Kirinyaga Nandi ukabila

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories