Kaunti Ya Kwale Yadai Kampuni Ushuru Wa Shilingi 370M
Published on: December 07, 2014 04:54 (EAT)
Kampuni ya uchimbaji madini ya Base Titanium kaunti ya Kwale inazongwa na mzozo mkali baina yake na serikali ya kaunti hiyo kwa kukataa kulipa ushuru wa zaidi ya shilingi milioni 370 wa uchimbaji madini hayo.Viongozi wa kaunti hiyo wakitishia kusitisha shughuli zake za uchimbaji.Mwanahabari wetu wa kwale Nicky Gitonga na habari hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment