Kaunti ya Meru yatoa ardhi kwa mahakama
Published on: June 15, 2017 09:05 (EAT)
Serikali ya kaunti ya Meru imeipiga jeki idara ya mahakama nchini baada ya kutoa kipande cha shamba kwa minajili ya ujenzi wa mahakama ya rufaa.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi shamba hilo kwa idara hiyo, Gavana Peter Munya amesema kuwa hatua hiyo itawasaidia siyo tu wakaazi wa Meru bali pia wakenya kwa ujumla. Jaji Mkuu David Maraga ameipongeza serikali ya kaunti ya Meru kwani korti hiyo itasaidia pakubwa katika kuwapa wakenya haki kwa muda ufaao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment