Kaunti ya Nairobi yaondoa baadhi ya ushuru

Serikali ya kaunti ya Nairobi imefutilia mbali malipo na kodi tofauti kwa wafanyabiashara wadogo wadogo katika kaunti ya Nairobi. Kwa mujibu wa barua iliyoandikwa na naibu gavana wa Nairobi Polycarp Igathe, amri hiyo ilipaswa kutekelezwa kuanzia tarehe 14 mwezi uliopita.

Tags:

Mike Sonko Nairobi Polycarp Igathe Hawkers

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories