Kaunti ya Nairobi yaondoa baadhi ya ushuru
Published on: October 01, 2017 08:51 (EAT)
Serikali ya kaunti ya Nairobi imefutilia mbali malipo na kodi tofauti kwa wafanyabiashara wadogo wadogo katika kaunti ya Nairobi. Kwa mujibu wa barua iliyoandikwa na naibu gavana wa Nairobi Polycarp Igathe, amri hiyo ilipaswa kutekelezwa kuanzia tarehe 14 mwezi uliopita.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment