Kaunti ya Nairobi yawatukuza Mashujaa
Published on: October 20, 2016 11:32 (EAT)
Mtetezi wa mazingira, hayati, Wangari Mathai na mwendazake Kadinali Otunga ni miongoni mwa mashujaa walioenziwa katika kaunti ya Nairobi ambapo barabara mbili muhimu jijini zimepewa majina yao katika sherehe za maadhimisho ya siku ya mashujaa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment