Kaunti ya Nairobi yawatukuza Mashujaa
Published on: October 20, 2016 11:32 (EAT)
Mtetezi wa mazingira, hayati, Wangari Mathai na mwendazake Kadinali Otunga ni miongoni mwa mashujaa walioenziwa katika kaunti ya Nairobi ambapo barabara mbili muhimu jijini zimepewa majina yao katika sherehe za maadhimisho ya siku ya mashujaa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment