Kaunti ya Nairobi yawatukuza Mashujaa

Mtetezi wa mazingira, hayati, Wangari Mathai na mwendazake Kadinali Otunga ni miongoni mwa mashujaa walioenziwa katika kaunti ya Nairobi ambapo barabara mbili muhimu jijini zimepewa majina yao katika sherehe za maadhimisho ya siku ya mashujaa.

Tags:

Nairobi mashujaa Nzamba Kitonga wangarei maathai

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories