Kaunti ya Trans Nzoia yalaumiwa kwa mapendeleo
Published on: November 05, 2016 09:17 (EAT)
Kufuatia ubaguzi wa ajira katika bunge la kaunti ya Trans Nzoia ambapo wawakilishi wa wadi wameajiri asilimia kubwa ya wafanyikazi kutoka jamii zao katika bunge hilo, mashirika ya kijamii katika kaunti hiyo wanawata wawakilishi hao kujiuzulu kwa kukiuka kifungu cha sita cha katiba kuhusu maadili. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi tume ya maadili na kupambana na ufisadi humu nchini tayari imelimevalia njuga swala hilo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment