Kaunti ya Uasin Gishu kuajiri maafisa wapya
Published on: October 04, 2017 08:29 (EAT)
Taifa hili linakodolea macho kutumia kima cha shilingi bilioni moja nukta nne kila mwaka kuwalipa maafisa watakaoajiriwa na wawakilishi wa wadi katika kama wasaidizi wao kote nchini.
Bodi za kaunti zinatarajiwa kuwaajiria mca wote waliochaguliwa, karani, wasaidizi na walinzi kwa jumla ya shilingi sitini kila mwezi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment