Kaunti zalaumiwa kwa kufuja pesa za umma
Published on: November 14, 2017 08:13 (EAT)
Ripoti za matumizi ya fedha za kaunti zinaonyesha kufujwa kwa mamilioni ya pesa na serikali na mabunge ya kaunti. Ripoti iliyotolewa na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kuhusu matumizi ya fedha katika mwaka wa fedha uliomalizika juni mwaka 2016 inaonesha uozo huo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment