Kazi ni kazi

Huenda umewapita kwa dharau mijini na usielewe changamoto zao. Mtazamaji sio wengine bali ni mahalamali wanaokusaidia kubeba mizigo yako hususan ukiwa sokoni au hata kwenye maduka ya bidhaa reja reja amabo kama anavyotueleza mwanahabari Saida Swaleh aliyekutana na baadhi katika eneo la Eldoret wameweza kuwekeza kila shilingi wanayopata kwenye kazi hiyo na kujiendeleza.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories