KDF washambuliana na Al Shabaab nchini Somalia
Published on: January 27, 2017 08:39 (EAT)
Kambi ya wanajeshi wa KDF eneo la Kulbiyow karibu na mpaka wa kenya na nchi ya somalia ilivamiwa na wanamgambo wa Al Shabab alfajiri ya leo. Kulingana na msemaji wa jeshi Kanali Paul Njuguna, ilikuwa jaribio la kuwavamia wanajeshi hao lakini hawakufaulu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment