KeNHA kujenga barabara kuu eneo la Salgaa
Published on: December 13, 2017 09:04 (EAT)
Idadi ya watu waliofariki katika ajali iliyotokea katika eneo la Sachangwan imeongezeka na kufikia 17. Hata hivyo watu 6 pekee kati yao ndio wameweza kutambuliwa kwa mujibu wa polisi. Manusura wa ajali hiyo wanauguza majeraha katika hospitali kuu ya rift valley mjini Nakuru.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment