Kenya kufanya safari za moja kwa moja hadi Marekani

Safari za ndege za moja kwa moja hadi nchini marekani zinapaniwa kuanza mwezi Aprili mwaka ujao. Waziri wa uchuguzi James Macharia amethibitisha kuwa hatua zote za usalama na uchukuzi wa angani zimeafikiwa na kilichosalia ni kibali cha uwanja wa JKIA kutumika kama hatua ya mwisho ya safari za kimataifa.

Tags:

Kenya Airways jkia america direct flights

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories