Kenyatta asisitiza msimu wa siasa umepita

Rais Uhuru Kenyatta leo ameliongoza taifa kusherehekea miaka 54 ya uhuru, huku akitoa wito wa amani na maridhiano baada ya mikwaruzano ya kisiasa ya takriban mwaka mzima. Hata hivyo Kenyatta ametoa tahadhari, haswa kwa vinara wa mrengo wa upinzani kuheshimu na kufuata katiba kikamilifu, huku akitangaza serikali haitasita kuuelekeza mjeledi kwa wale wanaoshinikiza za kujitenga kwa baadhi ya maeneo, kutokana na dhana ya kubaguliwa au kutengwa.

Tags:

Kenyatta Jamhuri Day

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories