Kenyatta na Odinga wanapishana kileleni mwa mchuano wa urais
Published on: August 01, 2017 08:20 (EAT)
Utafiti wa matokeo ya kura ya maoni uliofanywa na kampuni za IPSOS na Infotrak unaonyesha mchuano mkali kati ya rais Uhuru Kenyatta na kinara wa NASA Raila Odinga juma lijalo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment