Kero la Saratani ya mlango wa kizazi Migori
Published on: September 23, 2017 08:28 (EAT)
Ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi ni moja kati ya magonjwa
yanayowaua kina mama wengi ulimwenguni. Ugonjwa huu umeenea sana katika kaunti ya Migori, hasa kwa wale wanaoishi mashambani na kuwasabababishia machungu zaidi kwani licha ya kuishi maisha ya umasikini, vituo vya afya viko mbali sana. Kassim mwalimu adinasi ameandaa makala maalum kutoka migori.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment