Kichinjio cha punda chashurutishwa kufunga sehemu ya kutupa taka

Halmashauri ya mazingira nchini NEMA imetoa Ilani ya siku 21 kwa kichinjio cha Goldox kilichoko kaunti ya Baringo kufunga sehemu wanazotumia kumwaga taka, la sivyo watalazimika kukifunga kichinjio hicho. Kichinjio hicho kinachojihusisha na nyama ya punda kimedaiwa kutengeneza jaa la taka kinyume cha sheria karibu na makaazi ya wenyeji wa Baringo.

Tags:

mogotio Goldox nyama ya punda punda

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories