Kidimbwi mfano wa ramani ya Afrika chavutia wengi eneo la Tiwi
Published on: September 09, 2017 08:27 (EAT)
Mtazamaji, Katika Kaunti Ya Kwale Kuna Kidimbwi Cha Kipekee ufuoni mwa Bahari ya Hindi Kilichojichora Umbo Mfano Wa Ramani Ya Bara La Afrika Katika Eneo La Tiwi Kule Vinani. Na Kama Anavyotueleza Mwanahabari Wetu Wa Kwale Nicky Gitonga Wakazi Katika Eneo Hilo Wanakienzi Sana Kidimbwi Hicho kwa sababu zifuatazo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment