Kihanya akanusha kuhusika na ufisadi kwenye wizara ya Afya

Binamuye Rais Uhuru Kenyatta, Kathleen Kenyatta amekanusha kuhusika na kashfa ya ufujaji wa shilingi bilioni tano katika wizara ya afya na kusema kuwa kampuni yake, Sundales International ilifanya biashara halali na wizara hiyo na kupokea kihalali shilingi elfu arobaini baada ya kushinda zabuni ya vyakula.

Tags:

wizara ya afya kathleen kihanya

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories