Kiini cha mauji ya mwanafunzi William bado hakijabainika
Published on: August 19, 2016 08:13 (EAT)
Hapo jana nipashe ilimulika kisa cha mwanafunzi wa kidato cha nne ambaye maiti yake ilipatikana katika shimo la choo katika shule ya upili ya Kakuku kaunti ya Machakos. Katika juhudi za kutaka kupata taswira kamili ya yaliyojiri jumapili hiyo kabla kupotea kwa william, mwanahabari wetu Asasha Elizabeth ametuandalia taarifa hii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment