Kiini Macho Kituoni?

 Waendeshaji magari walilazimika kukaa usiku mzima kwenye kituo cha kujaza mafuta cha Astrol eneo la Kitengela baada ya magari yao kujazwa maji badala ya mafuta. Waendeshaji magari hao walisema kuwa magari yao yalikwama kilomita chache kutoka kwenye kituo hicho cha kujaza mafuta cha Astrol. Na kama anavyotuarifu Pheona Kengah meneja wa kituo hicho Gathoni Kabugi aliwalaumu wauzaji mafuta wa kituo cha konza ambapo mafuta hayo yalinunuliwa kwa mchanganyiko huo wa maji na petroli.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories