Kijana afungwa miaka 100 jela kwa kuwanajisi wasichana watatu
Published on: September 15, 2016 09:29 (EAT)
Mahakama ya Embu hii leo imefunga kijana mmoja mwenye umri wa miaka 20 kifungu cha miaka 100 jela baada ya kukiri kuwanajisi wasichana watatu wenye umri wa miaka 13 na 10 katika kanisa moja mwaka wa 2015.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment