Kijana amuua mpenziwe chuoni na pia kujiuwa
Published on: May 26, 2017 08:52 (EAT)
Hali ya simanzi ilitanda hii leo katika chuo kikuu cha Kisii kufuatia kifo cha mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho. Mwanafunzi huyo wa kike wa mwaka wa tatu anasemekana kuuawa kwa kunyongwa na mpenziwe baada ya tofauti za kimapenzi. Mwanamume mwenye kutekeleza kitendo hicho alijitia kitanzi muda mfupi baadaye an kuacha barua iliyoelezea kisa na sababu cha matendo yake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment