Kijana anayeshukiwa na polisi kuwa Al Shabaab ajisalimisha Huruma
Published on: July 20, 2017 08:32 (EAT)
Visa vipya vya kipindupindu vimeibuka humu jijini na kulazwa katika hospitali kuu ya Kenyatta. Tayari vituo vinne vya wagonjwa vimewekwa huruma, mathare na Mama Lucy.
Vile vile jamaa mmoja kwa jina salad tari ajiwasilisha katika kituo cha polisi baada ya jina lake kutajwa kwa watu wanaotafutwa zaidi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment