Kijiji hakina mawimbi ya simu Turkana
Published on: August 31, 2017 09:18 (EAT)
Eneo la mpaka wa nchi nne ambazo ni Kenya, Uganda, Sudan Kusini na Ethiopia taswira ya maendeleo ni ya kusikitisha. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Cheboit Emmanuel, licha ya kuwa katika karne ya ishirini na moja wakaazi wa Oropoi na Nawontos bado wanataembea kilomita sita hadi saba kila siku kutafuta mawimbi thabiti ya kupiga simu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment