Kikosi cha Jubilee chafanya mkutano kaunti ya Kiambu
Published on: September 03, 2017 08:54 (EAT)
Muungano wa Jubilee unataka uchaguzi ufanywe na tume ya uchaguzi nchini kulingana na maagizo ya mahakama licha ya wapinzani kutaka marekebisho kufanyiwa tume hiyo. Wanajubilee wanasema kuwa ni undumakuwili kwa upinzani kufurahia uamuzi uliobatilisha kuchaguliwa kwa Rais Uhuru Kenyatta na kukataa maagizo yanayohusu marudio kufanywa na IEBC. viongozi hao wanaitaka IEBC kuweka mikakati ya kuwezesha uchaguzi kufanyika haraka iwezekanavyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment